RAIS DK.MWINYI AMEFUNGUA MADRASAT MARYAM ILIOPO MFENESINI WILAYA MAGHARIBI A UNGUJA
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. HusseinAli Mwinyi amesema kuna umuhimu wa jamii kuwatunza walimu wamadrasa kwa kuandaa mpango maalum wa kuwawezesha iliwahamasike katika ufundishaji , ikiwa pia ni hatua ya kuondokana naudhalili wa maisha walionao hivi sasa.Dk. Mwinyi ametoa wito huo Mfenesini katika hafla ya ufunguzi waMadrasatu Maryamu iliofanyika Mfenesini
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed