RAIS DK.MWINYI AMEFUNGUA MADRASAT MARYAM ILIOPO MFENESINI WILAYA MAGHARIBI A UNGUJA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. HusseinAli Mwinyi amesema kuna umuhimu wa jamii kuwatunza walimu wamadrasa kwa kuandaa mpango maalum wa kuwawezesha iliwahamasike katika ufundishaji , ikiwa pia ni hatua ya kuondokana naudhalili wa maisha walionao hivi sasa.Dk. Mwinyi ametoa wito huo Mfenesini katika hafla ya ufunguzi waMadrasatu Maryamu iliofanyika Mfenesini